Dodoma FM
makundi matano ya chakula
22 June 2021, 11:55 am
Jamii imetakiwa kuimarisha Afya kwa kuzingatia inakula makundi matano ya chakula
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kusubiri ushauri katika suala la kutumia makundi matano ya vyakula na badala yake kujijengea tabia hiyo ili kuimarisha afya zao. wito huo umetolewa na wakazi wa kijiji cha Solowu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wakati…