Dodoma FM

maji taka

9 June 2022, 3:41 pm

Serikali yaendelea kukemea uharibifu wa mazingira

Na ;Victor Chigwada. Pamoja na wimbi la uharibifu wa mazingira unao kua kwa kasi kutokana na matumizi ya nishati ya mkaa na kuni Serikali umeendelea kukemea suala hili ili kulinda uoto wa asili Mwenyekiti wa Kijiji Cha Kazania Bw.Mganga Kuhoga…

31 May 2022, 1:16 pm

Halmashauri ya jiji la Dodoma yaanzisha mpango wa kufanya usafi

Na; Fred  Cheti    Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi  siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…

30 August 2021, 1:50 pm

Uzalishaji wa maji taka umekuwa sababu ya kuharibu mazingira

Na;Yussuph hans, Uzalishaji uliokithiri wa majitaka umekuwa sababu kubwa ya kuharibika kwa mazingira pamoja na chanzo cha maradhi mbalimbali ya mlipuko katika jamii. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya Wakazi Mkoani Dodoma wamesema kuwa jamii imekuwa na ufahamu kuhusu madhara ya…