Dodoma FM

magonjwa ya ngozi

4 July 2022, 1:30 pm

Wanaume wakwepa kushiriki suala la uzazi wa mpango

Na;Mindi Joseph.     Imeelezwa kuwa wanaume wengi si washiriki wazuri katika suala la uzazi wa mpango hatua inayosababisha wanawake wanaoamini uzazi wa mpango kuamua kutumia njia za usiri na hivyo kukosekana maridhiano baina ya pande hizo. Akizungumza leo na Taswira…