Dodoma FM
Mafuriko
19 May 2021, 1:50 pm
Wakazi wa Mtube walia na changamoto ya nyumba zao kujaa maji
Na; Shani Nicolous Wakazi wa mtaa wa Mtube Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wameelezea changamoto wanazokutana nazo kufuatia makazi yao kujaa maji wakati wa msimu wa mvua na kulazimika kuhamishiwa katika makazi ya muda. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi…