Dodoma FM
Mafunzo
13 March 2021, 9:35 pm
C Sema na TADIO zawajengea uelewa waandishi juu ya ukeketaji na ndoa za utotoni
Na,Rabiamen Shoo. Arusha. Asasi isiyo ya kiserikali ya C Sema na mtandao wa radio za kijamii Tanzania TADIO, wakiwezeshwa na UNFPA zimefanya kikao kazi cha siku mbili na waandishi wa habari kutoka redio za kijamii, kuwajengea uwezo wa namna ya…