Dodoma FM
Maendeleo ya jamii
4 June 2021, 12:55 pm
Finland kushirikiana na Tanzania kuboresha ustawi wa maendeleo ya jamii
Na; Mariam Matundu. Serikali ya Finland imedhamiria kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha kuwa Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wanawezeshwa katika utekelezaji wa shughuli zao za uboreshaji wa huduma kwa jamii hususani uwezeshwaji wanawake kiuchumi.…