Dodoma FM

maduka ya dawa

wakulima wakitazama mazao yaliyo shambuliwa.

30 January 2023, 9:02 am

Wakulima Kongwa kupambana na wadudu

Na; Mariam Kasawa. Wakulima katika wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua hatua mapema za kupambana na wadudu waharibifu wa mazao. Akiongea na taswira ya habari Afisa kilimo wilaya ya Kongwa Bwana Jackson shida anasema….. Pia Shija amewataka wakulima kuchukua…