MADINI
1 March 2022, 3:34 pm
Sekta ya madini ni kiungo muhimu katika ukusanyaji mapato.
Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…
5 November 2021, 12:59 pm
Mchango wa sekta ya madini waongezeka na kufikia asilimia 7.7
Na;Mindi Joeph . Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema Mchango wa sekta ya madini umeongezeka na kufikia asilimia 7.7 ya pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2021 huku ukitarajiwa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Akizungumza leo…
29 June 2021, 2:09 pm
Wakazi wa Handali waiomba serikali kuwapelekea wataalam wa uchimbaji madini.
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Handali iliyopo Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea wataalamu wa musuala ya madini ili kuwapatia elimu ya uchimbaji itakayo wawezesha kuchimba kwa ufanisi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi…