Dodoma FM

MADINI

1 March 2022, 3:34 pm

Sekta ya madini ni kiungo muhimu katika ukusanyaji mapato.

Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…