Dodoma FM
lishe
11 April 2022, 2:44 pm
Wajawazito watakiwa kuzingatia lishe
Lishe Hafifu kwa Mama wajawazito imetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa Watoto kuzaliwa wakiwa na upofu wengine uoni Hafifu. Taswira ya habari imezungumza na Daktari wa macho Wilaya Bahi Dk Fortunatus Nkane ambaye pia ni Mratibu wa huduma za Macho Wilayani…
21 October 2021, 12:07 pm
Ukosefu wa lishe bora kwa watoto watajwa kusababisha ongezeko la udumavu na utap…
Na; Fred Cheti. Ukosefu wa lishe bora kwa watoto nchini unatajwa kuwa chanzo cha kuongezeka kwa udumavu wa akili pamoja na ugonjwa wa utapiamlo jambo ambalo hupunguza uwezo wa kufanya vizuri shuleni pamoja na ufanisi katika maisha ya utu uzima.…