Dodoma FM
Dodoma FM
24 November 2025, 2:16 pm
Pamoja na hayo maafisa lishe wamehimiza jamii, walimu na wazazi kushirikiana na vituo vya afya na shule katika kuunga mkono juhudi za elimu ya lishe, ili kuhakikisha watoto wanapata afya bora, akili timamu na mwili wenye nguvu tangu siku za…
21 November 2025, 1:02 pm
Wiki ya Lishe inasisitiza kuwa jukumu la kuhakikisha watoto wanapata lishe bora ni la jamii nzima—kuanzia wazazi, walezi hadi taasisi za malezi ya watoto. Na Anwary Shaban.Wiki ya Lishe imeendelea kuadhimishwa nchini, huku wataalam wakisisitiza umuhimu wa lishe bora kwa…
10 October 2025, 3:16 pm
Kupitia siku hii, jamii inatakiwa kutambua umuhimu wa mayai, kwani kupitia ulaji wa mayai, familia zinaweza kupunguza utapiamlo na kuimarisha afya za watoto. Na Anwary Shaban. Siku hii, inayoadhimishwa kila mwaka mwezi Oktoba, inalenga kuongeza uelewa kuhusu nafasi ya yai…
1 October 2025, 4:00 pm
Pichani ni baadhi ya wananchi waliojitokeza katika Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe kata ya Matumbulu. Picha na Lilian Leopold. Elimu hii inalenga kupunguza tatizo la udumavu kwa watoto wenye umri wa miaka mitano na kushuka chini. Na Lilian…
1 September 2025, 2:20 pm
21 August 2025, 4:09 pm
Alhaj Jabir Shekimweri amewasistiza walimu kuwa ajenda ya lishe shuleni iwe endelevu na kuhakikisha kuwa wanafunzi wote wanapata chakula. Na Lilian Leopold. Katika juhudi za kuboresha elimu na afya ya wanafunzi, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Alhaj Jabir Shekimweri,…
6 August 2025, 1:12 pm
Wizara ya Afya inaendelea kuhimiza utekelezaji wa sera na hatua za kuimarisha mazingira yanayowawezesha mama kunyonyesha kwa uhuru. Na Lilian Leopold.Jamii imeshauriwa kuzingatia suala ya unyonyeshaji kwa watoto ikiwa ni njia ya ustawi wenye afya bora kwa watoto. Maadhimisho ya…
3 September 2024, 4:53 pm
Hili ni Jukwaa la nne kuwakutanisha mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kila mwaka tangu kuanza kufanyika mwaka 2021 ambapo mwaka huu mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Doto Biteko . Na Mariam Matundu.…
2 September 2024, 5:32 pm
Licha ya kuimarisha kinga ya mwili lishe bora pia inaelezwa inatajwa kumsaidia mwanafunzi kuwa na uwezo wa kufikiri na kumbukumbu hivyo kumwezesha mwanafunzi kuelewa na kukumbuka masomo kwa wepesi. Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa Mpango Mkakati wa Afya na lishe…
14 August 2024, 5:46 pm
Fedha zilizopangwa kutumika katika kutekeleza afua za lishe ni shilingi 27,183,940.14 sawa na asilimia 91.83 ya fedha zilizotumika kwa ajili ya chakula shuleni na kutekeleza siku ya afya ya lishe vijijini ambapo vijiji 87 na mitaa 28 vilishiriki kikamilifu .…