Dodoma FM
Kutia saini
20 May 2021, 2:06 pm
Mradi wa Bomba la mafuta utasaidia kuongeza pato la Taifa .
Yussuph Hans Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan, amesema mradi mkubwa wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga utasaidia kuvuta Wawekezaji Ukanda wa Afrika Mashariki, kuongeza ajira pamoja na pato la Taifa. Amebainisha hayo…