Dodoma FM
kupinga ukatili
19 July 2021, 11:12 am
Serikali yatakiwa kushirikiana na mashirika binafsi ili kutokomeza vitendo vya u…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa serikali kutengeneza umoja na mashirika binafsi pamoja na jamii nzima ili kutokomeza vitendo vya ukatili nchini.Akizungumza na Dodoma fm meneja mradi wa shirika lisilo la kiserikli la {Action for community care} Bi, Stella Matemu…