Dodoma FM
kujikinga na korona
22 July 2021, 8:45 am
Wafanyabiashara waliopo mnada wa Dabalo wametakiwa kufuata taratibu ili kujiking…
Na; Benard Filbert. Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali wanaofanya shughuli zao katika mnada wa Dabalo wilaya ya Chamwino wametakiwa kufuata maelekezo yaliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma kila mmoja kuvaa barakoa na kuzingatia kuweka maji ya kunawa ili kujikinga na…