Dodoma FM
kongamano la wanawake
5 September 2022, 1:30 pm
Kamati ya bunge yaridhishwa na mradi wa Timiza malengo
Na; Benard Filbert. Kamati ya Kudumu ya Bunge inayosimamia Masuala ya UKIMWI, Kifua Kikuu , Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoambukiza imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Timiza Malengo unaotekelezwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) unaolenga kuwawezesha vijana…
15 October 2021, 11:36 am
Wanawake ni muhimu katika maendeleo ya Taifa lolote Duniani
Na ; Selemani Kodima. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonesha kuwa wanawake ni muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kulingana na asili ya majukumu yao wanayoyafanya hasa katika malezi kwa mtoto. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Maendelo ya Jamii,…