Dodoma FM

kongamano la wanawake

5 September 2022, 1:30 pm

Kamati ya bunge yaridhishwa na mradi wa Timiza malengo

Na; Benard Filbert. Kamati ya Kudumu ya Bunge inayosimamia Masuala ya  UKIMWI, Kifua Kikuu , Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoambukiza imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Timiza Malengo unaotekelezwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) unaolenga kuwawezesha vijana…