Dodoma FM
Kituo cha Afya
16 July 2021, 11:08 am
Wakazi wa Songambele A waishukuru serikali kwa kuwapatia fedha kwaajili ya ujenz…
Na; Victor Chigwada. Wananchi katika Kata ya Songambele A wameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya . Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamesema kuwepo kwa Zahanati kutarahisisha upatikanaji…