Dodoma FM

kijamii

26 June 2021, 3:15 pm

Waathirika wa dawa za kulevya Nchini wasaidiwe

Na;Mindi Joseph Serikali imesema  tatizo la matumizi ya Dawa za kulevya Nchini limeendelea kuongezeka siku hadi siku huku akitoa Maelekezo mbalimbali  kwa kuwasiadia  waathirika wadawa za kulevya kiuchumi ili wasirudi katika matumizi ya Dawa hizo. Akizungumza hii leo Jijini Dodoma…

30 November 2020, 7:22 am

Ukosefu wa sera ya unywaji pombe wachangia kuzorotesha uchumi

Kutokuwepo kwa sera madhubuti zinazohusu masuala ya unywaji pombe kupita kiasi kumechangangia kushindwa kufanyika kwa shughuli za kiuchumi kutokana na baadhi ya watumiaji wa vinywaji vikali kuendekeza unywaji kupita kiasi.Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Mtandao wa mashirika ya…