kijamii
26 June 2021, 3:15 pm
Waathirika wa dawa za kulevya Nchini wasaidiwe
Na;Mindi Joseph Serikali imesema tatizo la matumizi ya Dawa za kulevya Nchini limeendelea kuongezeka siku hadi siku huku akitoa Maelekezo mbalimbali kwa kuwasiadia waathirika wadawa za kulevya kiuchumi ili wasirudi katika matumizi ya Dawa hizo. Akizungumza hii leo Jijini Dodoma…
1 December 2020, 6:54 am
Ukosefu wa elimu ya jinsia unavyochangia maambukizi ya vvu kwa vijana
Na,Mariam MatunduDodoma.Ukosefu wa elimu ya jinsia kwa vijana kuanzia ngazi ya familia inatajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea takUwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana kuwa juu kuliko kundi lolote. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya…
30 November 2020, 7:22 am
Ukosefu wa sera ya unywaji pombe wachangia kuzorotesha uchumi
Kutokuwepo kwa sera madhubuti zinazohusu masuala ya unywaji pombe kupita kiasi kumechangangia kushindwa kufanyika kwa shughuli za kiuchumi kutokana na baadhi ya watumiaji wa vinywaji vikali kuendekeza unywaji kupita kiasi.Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Mtandao wa mashirika ya…