Dodoma FM

kifua kikuu

7 February 2023, 12:39 pm

Wafanyabiashara walalamikia hali ya soko Ihumwa

Wafanyabiashara katika soko la ihumwa jijini dodoma wameiomba serikali kutengeneza miundombinu ya soko hilo kutokana na eneo wanalotumia kwa sasa kutokutosheleza mahitaji. Na Thadei Tesha. Ni katika soko la ihumwa jijini dodoma ambapo baadhi ya wafanyabiashara katika soko hili wanasema…

23 March 2022, 2:39 pm

Hali ya ugonjwa wa kifua kikuu yaendelea kudhibitiwa

Na;Yussuph Hassan.   Kuelekea siku ya kifua kikuu Duniani march 24, imeelezwa kwa Serikali Mkoani  Dodoma katika kutokomeza ugonjwa huo ilipanga kila baada ya miezi mitatu kuibua wagonjwa Elfu Moja, Mitatu Sitini na Mbili, kila baada ya miezi mitatu. Lengo…