Dodoma FM
Jamuhuri
21 March 2021, 9:51 am
viongozi wa Jeshi wakagua mandalizi ya kumuaga Rais Hayati Magufuli Dodoma
Na; Mariam kasawa Viongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wamekagua ujenzi wa banda ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuupokea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Uwanja wa Jamhuri…