Dodoma FM
huduma za Afya
5 July 2021, 9:49 am
Wakazi wa Mlebe walia na changamoto ya upungufu wa madawa na wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo wanakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya katika zahanati yao hali inayodhoofisha utoaji wa huduma za matibabu hasa kwa akina mama wajawazito. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira…