Dodoma FM
hedhi salama
23 August 2021, 1:40 pm
Familia zatakiwa kuvunja ukimya juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ili kuvunja ukimya na kuwezesha upatikanaji wa hedhi salama kwa watoto wa kike ni muhimu suala hili likaanza kuzungumzwa ndani ya familia pamoja na kujumuishwa kwenye bajeti za familia. Akizungumza na taswira ya habari mdau…
28 May 2021, 1:54 pm
Wazazi wakiri uwepo wa dhana tofauti na uelewa mdogo katika maswala ya hedhi
Na;Yussuph Hans. Ikiwa leo ni siku ya hedhi Duniani moja ya changamoto wanayokutanayo wasichana nchini, ni baadhi ya wazazi kushindwa kubadili mtazamo wao na kuvunja ukimya kuhusu masuala ya hedhi. Hayo yamebainishwa na baadhi ya Wasichana jijini hapa wakati wakizungumza…