Dodoma FM
haki na usawa
1 April 2021, 11:24 am
Misingi bora ya jamii ni chanzo cha haki na usawa
Na; Mindi Joseph. Kituo cha sheria na haki za Binadamu kimemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassani kutengeneza misingi itakayohakikisha jamii inaishi kwa kufuata sheria haki na kuzingatia usawa wa kijinsia. Akizungumza na Taswira ya habari…