Dodoma FM

haki na usawa

1 April 2021, 11:24 am

Misingi bora ya jamii ni chanzo cha haki na usawa

Na; Mindi Joseph. Kituo cha sheria na haki za Binadamu  kimemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassani kutengeneza misingi itakayohakikisha jamii inaishi kwa kufuata sheria haki na kuzingatia usawa wa kijinsia. Akizungumza  na Taswira ya habari…