Dodoma FM
gulio
24 August 2021, 2:02 pm
Mgogoro wa ardhi wakwamisha ujenzi wa vyoo vya gulio Chilonwa
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa mgogoro wa eneo ambalo lilitakiwa kujengwa matundu ya vyoo katika Gulio la Chilonwa ni sababu ya kuchelewa ujenzi wa matundu hayo. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Chilonwa Bw Alpha Msuza wakati akielezea mkakati…