Dodoma FM

FURSA

11 April 2022, 4:11 pm

Wananchi watakiwa kutumia fursa mwezi wa Ramadhani

Na;Yussuph Hassan. Wananchi Mkoani Dodoma wameshauriwa kutumia fursa zinazopatikana kupitia Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kupunguza ugumu wa maisha. Ushauri huo umetolewa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mustafa Rajabu wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema…