Dodoma FM
fidia
14 October 2021, 12:23 pm
Wakazi wa Zuzu waiomba serikali kuwalipa fedha za fidia ya maeneo yao
Na; Benard Filbert. Wakazi wa mtaa wa Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwalipa fedha za fidia ya maeneo ambazo waliahidiwa baada ya kuondolewa katika maeneo yao kupisha kujengwa kwa miundombinu ya umeme wa reli ya kisasa (Standard Gauge). Wametoa malalamiko…