Dodoma FM
elumu
28 May 2021, 1:21 pm
Taasisi na vyuo vya ufundi zimetakiwa kutoa elimu bora inayokidhi viwango.
Na; MIND JOSEPH. Serikali imezitaka taasisi pamoja na vyuo vinavyohusika kutoa elimu ya Ufundi nchini kuhakikisha vinatoa elimu bora inayokidhi viwango na mahitaji ya soko la ajira. Hayo yamesemwa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassim…