Dodoma FM
Elimu utatili
3 May 2021, 1:37 pm
Elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia imesaidia kuondoa ukimya kwa jamii
Na; Mindi Joseph Imeelezwa kuwa elimu ya kuzuia vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto imechangia wengi kuripoti hususani watoto wa kike katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Taswira ya Habari imezungumza Askari polisi wa Dawati la jinsia…