Dodoma FM
Elimu katiba
3 June 2021, 11:44 am
Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufuatilia elimu ya katiba
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wananchi nchini kufuatilia elimu zinazotolewa juu ya katiba ya nchi ili kuwawezesha kutambua haki na sheria mbalimbali. Wito huo umetolewa na Bw. William Mtwazi kutoka katika kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC…