Dodoma FM
elimu jumuishi
16 July 2021, 1:12 pm
Shule zinazotoa elimu jumuishi zaiomba serikali kuboresha miundombinu
Na; Mariam Matundu. Walimu wanaofundisha shule zinazotoa elimu jumuishi katika Wilaya ya Bahi na Dodoma mjini wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya shule zao ili kuwezesha watoto wenye mahitaji maalumu kujifunza vizuri. Wamesema suala la uchache wa vyumba vya madarasa linasababisha…