Dodoma FM
Dodoma FM
24 January 2022, 3:30 pm
Na; Benard Filbert. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma DUWASA inaendelea na kampeni yake ya kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yanajiri kufuatia kuwepo kwa uharibifu wa baadhi ya miundombinu ya…