Dodoma FM
chuo
11 January 2022, 2:08 pm
Chuo cha ufundi stadi chatarajiwa kujengwa Mlowa bwawani.
Na; Neema Shirima. Serikali ya Tanzania imepokea mradi wa kujenga chuo kikubwa cha ufundi stadi ambacho kitajengwa katika kata ya Mlowa bwawani ndani ya jiji la Dodoma Hayo yamebainishwa na diwani wa kata hio bwn Andrew ambapo amesema nchi ya…