Dodoma FM
CHF
20 April 2021, 11:49 am
Wananchi vijijini wanufaika na Elimu ya mfuko wa bima ya Afya CHF
Na; Benard Filbert. Elimu iliyotolewa kwa wananchi wa maeneo ya Vijijini kuhusu mfuko wa bima ya afya CHF imesaidia kwa kiasi kikubwa kuamsha hamasa ya kujiunga na kutumia bima hiyo. Hayo yameelezwa na mratibu wa bima ya afya CHF Mkoa…