Dodoma FM

chanjo ya uviko

4 November 2021, 11:44 am

Hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha

Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha kwakuwa wananchi wamehamasika na wanajitokeza kwa wingi hasa wananchi wanaoishi vijijini . Aidha wanawake wametajwa kujitokeza kwa wingi katika kupata chanjo hiyo maeneo yote nchini…