Dodoma FM
chanjo ya uviko
4 November 2021, 11:44 am
Hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha kwakuwa wananchi wamehamasika na wanajitokeza kwa wingi hasa wananchi wanaoishi vijijini . Aidha wanawake wametajwa kujitokeza kwa wingi katika kupata chanjo hiyo maeneo yote nchini…