Dodoma FM

burudani

2 December 2020, 10:51 am

Mchakato wa Mabadiliko Yanga wafikia pazuri

Dar es Salaam. Meneja wa mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu ya Yanga SC,injinia Hersi Said akiambatana na kamati ya Mabadiliko ya Yanga, leo Jumatano Desemba. 2, 2020 wamekabidhi rasimu ya awali ya mchakato wa mabadiliko kwa…