Dodoma FM
bidhaa
9 July 2021, 11:44 am
Ukosefu wa Elimu ni kikwazo kwa wazalishaji wadogo wa bidhaa Nchini
Na; Shani Nicolous. Ukosefu wa elimu na jinsi ya kupata soko kwa wazalishaji wadogo wa bidhaa Nchini imetajwa kuwa changamoto hivyo kushindwa kuongeza mnyororo wa thamani. Hayo yamebainishwa na mkurugenzi mtendaji wa jukwaa la wadau wa sekta ya kilimo Bw.…