Dodoma FM
Dodoma FM
14 January 2025, 11:47 am
Hata hivyo amesema maandalizi kwa ajili ya kiwapokea vijana hao yamekamilika ambapo alisema katika shamba hilo kila kitu ambacho kinahitajika kwa ajili ya kilimo kipo kwa ajili ya kuanza uzalishaji. Na Selemani Kodima.Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kuwapokea vijana…
13 August 2024, 3:47 pm
Zaidi ya vijana 110 kutoka mradi wa BBT chinangali wamenufaika na mikopo ya uendeshaji wa shughuli hiyo ya kilimo wenye thamani zaidi ya milioni 900 huku zaidi ya hekari 600 zikiwa tayari zimeshalimwa zao la alizeti. Na Victor Chigwada.Vijana wanufaikaji…
22 March 2023, 7:23 pm
Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani. Na Benard Magawa. Wananchi wilayani Bahi wameliomba shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuwapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kwa matumizi ya nyumbani kutoka…