Dodoma FM
Baraza la mawaziri
31 March 2021, 2:02 pm
Rais afanya mabadiliko baraza la mawaziri
Na; Mariam kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri . Rais Suluhu amefanya mabadiliko hayo leo Machi 31,2021 Ikulu Chamwino Dodoma wakati wa hafla ndogo ya kumuapisha Makamu wa Rais,…