Ardhi
20 January 2022, 4:18 pm
Wakazi wa Ihumwa waomba elimu ya urasimishaji Ardhi iongezwe kwa wananchi
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa licha ya kutolewa elimu katika baadhi ya maeneo ya Dodoma kuhusiana na suala la upimaji na urasimishaji wa maeneo bado baadhi ya wananchi hawajapata elimu ya kutosha kuhusiana na zoezi hilo. Hayo yamebainishwa na bwn…
11 August 2021, 12:13 pm
Wakazi wa kijiji cha Kawawa walalamikia kukosa maeneo mbadala baada ya maeneo ya…
Na; Shani Nicolous. Wananchi wa kijiji cha Kawawa kata ya msanga Wilaya ya Chamwino wamelalamikia kutokupewa maeneo mbadala ya kuishi baada ya kupimwa maeneo yao na kufanywa hifadhi ya wanyama. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema kuwa nikipindi kirefu…
19 July 2021, 9:53 am
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ameisimamisha kazi kampuni ya upimaji wa ardhi eneo la Mi…
Na ;Benard Filbert. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Antony Mtaka ameisimamisha kampuni ya upimaji wa ardhi ambayo imekuwa ikitekeleza kazi zake eneo la kata ya Mkonze. Mtaka ametoa agizo hilo baada ya kusikiliza kero za wananchi wa mitaa mbalimbali…
16 July 2021, 11:36 am
Imeelezwa kuwa migogoro ya ardhi ni sababu inayo pelekea baadhi ya watu kushindw…
Na; Sani Nicolous. Pamoja na kwamba serikali bado inaendelea na kampeni ya kutatua migogoro ya ardhi lakini kuna baadhi ya maeneo wakulima na wafugali wapo katika migogoro mikali ya ardhi. Akizungumza na Dodoma fm Diwani wa kata ya Mpendo wilaya…
9 July 2021, 12:01 pm
Migogoro ya Ardhi Chemba yapungua kwa kiasi kikubwa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa migogoro ya ardhi katika Kata ya Chemba Wilayani Chemba Mkoani Dodoma imepungua kwa kiasi kikubwa tofauti na awali ambapo ilikuwa ikileta ugomvi kwa wananchi. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw. Bashiru Athman wakati…
2 July 2021, 2:15 pm
Wakuu wa idara na taasisi watakiwa kuhakikisha wanalipa fidia kabla ya kutwaa Ar…
Na;Yussuph Hans. Marufuku imetolewa kwa wakuu wa idara, taasisi pamoja na wakurugenzi kuhakikisha wanalipa fidia kwa wananchi kabla ya kutwaa ardhi yao ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa maridhio baina ya pande zote mbili. Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa…
25 June 2021, 2:07 pm
Iyumbu waishukuru serikali kwa kusimamia ipasavyo migogoro ya Ardhi
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kusimamia ipasavyo utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baadhi ya wanachi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema tangu Diwani wa Kaya yao alipoingia madarakani ameshirikiana na wananchi…
19 March 2021, 12:30 pm
Wanawake wategemea ardhi kujipatia kipato
Na, Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa wanawake zaidi ya asilimia 50% wanategemea ardhi kwaajili ya kipato chao, Kauli hiyo imetolewa na Kamishna Ustawi wa jamii Dkt Naftali Ng’ondi jijini Dodoma wakati akifungua mkutano uliokuwa ukifanyika kwa njia ya mtandao ambao umehusisha…