Ajira
5 July 2021, 10:54 am
Wanafunzi wa vyuo watakiwa kujiandaa kisaikolojia kukabilia na changamoto ya aj…
Na;Yussuph Hans. Mjadala kuhusu tatizo la ajira Nchini limekuwa likichukua sura mpya na hii ni kutokana na ukubwa wa tatizo hilo ambalo linaendelea kuumiza vichwa vya watungaji wa sera na wadau wengine. Hali hii imepelekea baadhi ya wasomi na wachambuzi…
3 June 2021, 2:13 pm
Jumla ya wakazi 3000 wanatarajia kupata ajira kupitia ujenzi wa kiwanda cha mbol…
Na;Mindi Joseph. Jumla ya wananchi elfu 3000 wanatarajia kupata ajira kupitia ujenzi wa kiwanda cha mbolea Nala jijini Dodoma huku wananchi wa eneo hilo wakitarajia kunufaika zaidi na uboreshwaji wa miundombinu ya umeme na maji. Taswira ya habari imezungumza na, Meneja wa Kituo…
16 March 2021, 9:31 am
REPOA:Vijana elfu 60 wapata ajira kwenye sekta rasmi
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya vijana elfu hamsini hadi elfu sitini ni miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira, na kubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya…