Dodoma FM

Ajira

16 March 2021, 9:31 am

REPOA:Vijana elfu 60 wapata ajira kwenye sekta rasmi

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya vijana elfu hamsini hadi elfu sitini ni miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira, na kubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya…