Dodoma FM
60 ya uhuru
30 November 2021, 1:17 pm
Tanzania yatajwa kupata mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru
Na; Dawati. Katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara, Nchi inatajwa kupata mafanikio makubwa kupitia sekta ya maliasili, mali kale na utalii ikiwemo kukuza na kuimarisha shughuli za utalii Nchini. Naibu Waziri wa maliasili na utalii Mh.…