Dodoma FM
wanahabari
2 November 2021, 12:21 pm
Serikali na jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa wanahabari ili wawe salama
Na; Fred Cheti. Ikiwa leo ni siku maalumu ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanahabari Duniani ripoti ya kamati ya kuwalinda wanahabari ulimwenguni(CPJ) inaeleza kuwa Mataifa 13 yamekumbwa na visa vya mauaji ya kikatili dhidi ya wanahabari. Ripoti kutoka…