uteuzi
23 June 2022, 2:18 pm
TANESCO yazindua huduma ya NIKONECT
Na; Benard Filbert. Shirika la umeme nchini Tanesco limezindua huduma ya kuwaunganishia umeme wananchi kwa haraka inayofahamika kama NIKONEKT ambayo inafanyika mtandaoni pasipo kwenda kwenye ofisi za shirika hilo. Hayo yameelezwa na Sarah Libogoma afisa uhusiano na huduma kwa watejaTanesco…
14 September 2021, 2:10 pm
Jamii imetakiwa kuacha dhana potofu ya kufikiria mwanamke hawezi kuongoza baadhi…
Na; Benard Filbert. Kufuatia Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kumteua Dokta Stergomena Tax kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa jamii imetakiwa kuondoa dhana potofu iliyopo kwenye jamii kuwa mwanamke hawezi kuongoza wizara…
13 September 2021, 12:57 pm
Rais Samia awataka mawaziri wapya kwenda kufanya kazi kwa bidii
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu amewataka mawaziri wapya aliowateua siku ya jana kwenda kufanya kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko katika wizara walizochaguliwa na kwa watanzania kwa ujumla. Rais Samia ameyasema hayo…
13 September 2021, 8:30 am