ulemavu
1 November 2021, 12:15 pm
Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ili kuepuka ukatili
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ikiwa ni mbinu moja wapo ya kuepuka ukatili dhidi yao ikiwa ni pamoja na kutengwa na kuitwa majina dhalilishi. Hayo yamesemwa na mdau wa masuala ya watu wenye ulemavu…
12 July 2021, 12:12 pm
Familia yaomba msaada ili iweze kumpeleka binti yao kwenye matibabu
Na; Mariam Matundu. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kumsaidia Rhoda Nhambali binti mwenye ulemavu wa afya ya akili ili aweze kupata matibabu. Bathromeo Nhambali ambae ni baba mzazi wa binti huyo amesema ulemavu huo ulisababisha kumkatisha masomo binti yake…
2 July 2021, 11:19 am
Uhamasishaji mdogo wapelekea watu wenye ulemavu kuto nufaika na mikopo ya ha…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa taarifa na uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu kujiunga katika vikundi ni moja ya sababu inayo pelekea kundi hilo kutopata mikopo kwa wingi inayotolewa na halmashauri. Hayo yamesemwa namwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wilaya ya Kondoa bwana Abedi Dutu ambapo amesema uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo ya vijijini kuomba mikopo upo chini hivyo wengi wao hukosa fursa…