Dodoma FM
TASAF
22 November 2021, 11:54 am
Wakazi wa Ihumwa waulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF)
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Ihumwa Wilaya ya Dodoma mjini wameulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii(TASAF)juu ya vigezo walivyo zingatia katika usajili wa watu wenye uhitaji wa kusaidiawa na mfuko huo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya…