Dodoma FM
Taifa
2 February 2023, 1:48 pm
Serikali yafanikiwa kupunguza maambukizi ya Malaria Jijini Dodoma
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kupunguza maambukizi ya Malaria kutoka asilimia 1.4 hadi kufikia asilimia 1.01 mwaka 2022. Na Alfred Bulahya Hayo yamebainishwa na mratibu wa malaria kutoka halmashauri ya jiji la Dodoma Bw, Gasper Kisenga wakati akizungumza na…
14 February 2022, 5:54 pm
Sera ya Taifa ya mwaka 2021 yazinduliwa
Na; Thadei Tesha. Kufuatia hivi karibuni mkamu wa Rais Mh Philip Mpango kuzindua sera ya taifa ya mazingira ya mwaka 2021 jijini hapa baadhi ya wananchi jijini hapa wameipongeza serikali kwa kuendela kuhamasisha suala la utunzaji wa mazingira katika jamii.…