Dodoma FM

Taifa

14 February 2022, 5:54 pm

Sera ya Taifa ya mwaka 2021 yazinduliwa

Na; Thadei Tesha. Kufuatia hivi karibuni mkamu wa Rais Mh Philip Mpango kuzindua sera ya taifa ya mazingira ya mwaka 2021 jijini hapa baadhi ya wananchi jijini hapa wameipongeza serikali kwa kuendela kuhamasisha suala la utunzaji wa mazingira katika jamii.…