Dodoma FM
saratani
4 February 2022, 3:05 pm
Jamii yatakiwa kuzingatia aina ya ulaji wa vyakula pamoja na mitindo ya maisha
Na ;Fred Cheti. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya ugonjwa wa Saratani Duniani ushauri umetolewa kwa jamii kuzingatia aina ya ulaji wa vyakula pamoja na aina ya mitindo ya maisha kwani ni miongoni mwa sababu sababishi ya tatizo hilo.…