saikolojia,
12 April 2022, 3:10 pm
Elimu ya Saikolojia yaendelea kutolewa kwa jamii
Na;Mindi Joseph. Asasi ya Saiko Center imeendelea kutoa elimu ya saikolojia ili kuhakikisha inasaidia jamii kuepukana na changamoto za kisaikolojia. Taswira ya habari imezungumza na Mtendaji wa Asasi hiyo Sylvia Siriwa ambapo amesema malengo yaliyopo kwenye asasi hiyo ni kutoa…
24 January 2022, 2:34 pm
Mmomonyoko wa maadili waweza kusababisha athari za kisaikolojia
Na ;Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa vitendo vya baadhi ya Watu kuweka picha za utupu mitandaoni zinaweza kuleta athari za kisaikolojia Jambo linalopelekea kuharibika kwa maadili. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya vijana jijini hapa kufahamu Nini chanzo cha…
30 September 2021, 1:11 pm
Watu 549 Mkoani Dodoma wapatiwa elimu ya Saikolojia
Na;Mindi Joseph. Watu 549 Mkoani Dodoma wamepatiwa elimu ya saikolojia kutokana na kukabiliwa na Tatizo la saikolojia ya Maisha ambayo inaendelea kuwakabili watu mbalimbali nchini. Kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia junuary hadi june mwaka huu 2021 watu 549 wamepatiwa…