naCONGO
10 August 2022, 2:04 pm
TRC kuimarisha ulinzi na usalama wa mizigo kwenye Treni
Na;Mindi Joseph . Shirika la Reli Tanzania limesema limejipanga kuhakikisha linaimarisha ulinzi na usalama wa mizigo ya abiria kwenye Treni kwa kudhibiti vitendo vya wizi vinavyofanyika. Hayo yamebainishwa na Mkurungezi Mkuu TRC Masanja Kadogosa kufuatia changamoto hiyo ambayo imekuwa ikijitokeza…
1 October 2021, 12:49 pm
Wananchi watakiwa kuunga mkono juhudi za asasi zisizo za kiserikali
Na; Nadhiri Hamisi. Wito umetolewa kwa wananchi kuunga mkono juhudi za asasi zisizo za kiserikali kwa kufuata huduma zinazotolewa na asasi hizo ili kuleta maendeleo nchini. Hayo yameelezwa na Bwana Jacob kessy Mkurugenzi wa shirika la youth royal empowerment organization…
30 September 2021, 1:22 pm
Rais Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali kuzingatia mip…
Na;Mariam Matundu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuzingatia Mipango na Vipaumbele vya Kitaifa katika kutekeleza majukumu na miradi mbalimbali ya maendeleoRais Samia amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na…