Dodoma FM
mitandao
25 October 2021, 11:28 am
Jamii yatakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa mbalimbali
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa na katibu wa baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania Rachel Charles Elio wakati akizungumza na Taswira…