mikopo
21 April 2022, 10:22 am
Wanawake Ilazo waiomba serikali kuwapatia elimu ya mikopo
Na; Shani Nicolous. Wanawake wa mtaa wa Ilazo jijini hapa wameiomba serikali na taasisi za mikopo kutoa elimu juu ya matumizi sahii ya mikopo hiyo. Wakizungumza na Taswira ya habari wanawake hao wamesema kuwa mikopo huenda inatolewa lakini mwitikio ni…
5 April 2022, 2:22 pm
Ukosefu wa elimu juu ya mikopo waleta changamoto ya urejeshaji wa mikopo
Na; victor Chigwada. Pamoja na kasi ya uundwaji wa vikundi vya vijana na wajasiriamali mabalimbali nchini ambavyo hupatiwa mikopo ya kuendesha shughuli zao lakini kumekuwa na changamoto ya upataji wa elimu juu ya mikopo hiyo pamoja na matumizi yenye tija.…
23 July 2021, 12:11 pm
Mkuu wa mkoa wa Dodoma ameitaka Benki ya mwalimu(MCB) kuwasaidia walimu kupata m…
Na; Mindi Joseph. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka ameitaka benki ya Mwalimu kuwasaidia walimu nchini kupata mikopo yenye masharti nafuu. Akizungumza jijini Dodoma wakati akizindua mpango wa mikopo ya mashine za uzalishaji mali ujulikano kama Mwalimu na Ujasiriamali…