Dodoma FM
makazi ya wazee
6 September 2021, 12:12 pm
Wazee waliopo katika makazi ya wazee Sukamahela wilayani Manyoni waishukuru seri…
Na; Mariam Matundu. Katika kuelekea siku ya wazee duniani wazee wanaoishi katika makazi ya wazee sukamahela wilayani manyoni wameishukuru serikali kwa kufanya ukarabati katika majengo ya makazi hayo ikiwa ni pamoja na wazee hao kupata uhakika wa chakula kila siku…